1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Fukushima

Fukushima, Japan, ndiyo palikuwa mahaka pa ajali kubwa ya nyuklia, iliyosababishwa na tetemeko kubwa na tsunami Machi 11, 2011. Tsunami ilisababisha kufurika kwa mtambo wa nyuklia na kupelekea maafa makubwa.

Ruka sehemu inayofuata Ripoti na Uchambuzi