1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Hajiya Iyatu, Nigeria

23 Mei 2013

Hajiya Iyatu ana umri wa miaka 58 na anaishi Bauchi, katikati ya Nigeria. Bibi huyo anatoa picha mchanganyiko kuhusu shughuli za Umoja wa Afrika.

https://p.dw.com/p/18c8c
Das Bild der Frau zeigt Hajiya Iyatu und wurde aufgenommen in Bauchi/Nigeria von Ardo Hazzad/DW Haussa. Zulieferer: Friederike Müller
50 Jahre Afrikanische UnionPicha: DW/A. Hazzad

"Mtu hawezi kujigamba kwamba Umoja wa Afrika haukuleta mafanikio yoyote. Tatizo lakini limesalia pale pale, kuna shida ya mtu kwenda akutakako: Ni vigumu kupata viza. Tatizo jengine ni kwamba Afrika ingawa ina utajiri wa mali ghafi, lakini sisi wenyewe tunapata shida ya kuukurubia na kufaidika."