1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Hatua mpya ya amani nchini DRC

17 Julai 2008

Raïs Joseph Kabila wa DRC ameteuwa kamanda mkuu wa kikosi maluum kitakacho husika na kuyarejesha makwao makundi ya wapiganaji wa kigeni yanayopatikana mashariki mwa nchi hiyo.

https://p.dw.com/p/EeE2
Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya KongoPicha: AP

Hatua hiyo ikiwa itafanikiwa basi itasaidia kurejesha amani kwenye kanda nzima la maziwa makuu.


Taarifa kamili na mwandishi wetu Saleh Mwanamilongo.