1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Madaraka yatakabidhiwa kwa amani Congo?

Josephat Charo
12 Januari 2019

Kiongozi wa upinzani Martin Fayulu amefungua kesi katika mahakama ya katiba kuyapinga matokeo ya uchaguzi uliofanyika Desemba 30 mwaka uliopita katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo. Kipi kitarajiwe huku mshindi Felix Tshisekedi akijiandaa kuchukua mikoba ya uongozi kutoka kwa rais Joseph Kabila? Jiunge na Josephat Charo katika Maoni mbele ya Meza ya Duara.

https://p.dw.com/p/3BS5I