1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Juhudi za kukomesha ukeketaji wasichana na wanawake

13 Oktoba 2023

Kadhia ya ukeketaji wa wasichana na wanawake ingali inafanywa kisirisiri miongoni mwa baadhi ya jamii za Afrika. Mashirika ya kimataifa na watunga sera mbali mbali barani humo wanahimiza sera na sheria kali kutungwa kukabili kadhia hiyo.

https://p.dw.com/p/4XV8o