1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Macho na masikio nchini Kenya

Sudi Mnette
8 Agosti 2017

Raia wa Kenya wanapiga kura kumchagua rais katika kinyang'anyiro kikali kinachowakutanisha rais Uhuru Kenyatta na mpinzani wake Raila Odinga. Na urais wa Jacob Zuma wa Afrika Kusini matatani baada ya bunge kuridhia kura ya siri ya kutokuwa na imani nae.

https://p.dw.com/p/2htmU