1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mali

Mali ni taifa lililozungukwa na nchi kavu magharibi mwa Afrika. Ni taifa la nane kwa ukubwa barani Afrika likiwa na ardhi yenye ukubwa wa kilomita za mraba 1,240,000. Lina wakaazi milioni 15.5 na mji mkuu wake ni Bamako.