1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya Asubuhi 22.01.2022

Grace Kabogo
22 Januari 2022

Siasa za chama cha siasa cha Kanu kilichoitawala Kenya baada ya uhuru zinaonekana kushika kasi baada ya wanachama 70 kujiunga na chama hicho//Kwa mara ya kwanza katika historia ya Israel chama cha kiarabu cha Raam kimekuwa sehemu ya serikali ya muungano//Wizara ya sheria ya Marekani imemshtaki mtu mmoja kutoka Haiti kwa tuhuma za kula njama ya mauaji ya aliekuwa raisi wa nchi hiyo, Jovenel Moise

https://p.dw.com/p/45wTI