1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mazungumzo ya Serikali ya Uganda na kundi la LRA

7 Mei 2008

Waziri wa Mashauri ya Kimataifa nchini Uganda, Henry Okelo Oryem, amesema Wajumbe wa Serikali Kuu ya Uganda hawatarejea tena katika eneo la mpaka wa Sudan na Kongo.

https://p.dw.com/p/DuzR
Joseph Kony kiongozi wa Kundi la Waasi wa LRAPicha: AP Photo


Watarejea pale Kiongozi wa kundi la Waasi la LRA, Joseph Kony atakapobainisha kuwa atafika katika eneo hilo kwa ajili ya mapatano ya Amani.

Zaidi anayo mwandishi wetu Ismail Kigozi kutoka nchini Uganda.