1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

G20

G20 ni nchi 20 zinazoongoza kiuchumi duniani na zinazojumuisha takriban theluthi tatu ya idadi ya watu duniani. Viongozi wa nchi za G20 hukutana mara mbili kila mwaka, kwa lengo la kujadili masula ya uchumi wa dunia.