1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mike Pompeo

Michael Richard Pompeo, ni mwanasiasa wa Marekani na mwanasheria, ambaye tangu Aprili 2018, amehudumu kama waziri wa 70 ya mambo ya nje wa Marekani. Ni afisa wa zamani wa jeshi la Marekani na alikuwa Mkurugenzi wa CIA.