1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

MSF na vita dhidi ya Malaria Nduta

19 Desemba 2018

Shirika la hisani la Madaktari wasio na Mipaka MSF linaendesha kampeni ya kupambana na Malaria katika kambi ya wakimbizi ya Nduta, mkoani Kigoma nchini Tanzania. Ripota wetu Hawa Bihoga alitemebea kambi hiyo kujionea kazi inayofanywa na MSF na kuandaa vidio hii.

https://p.dw.com/p/3AOMK