1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Sayon Bamba awakomboa wanawake kimuziki

18 Novemba 2015

Sayon Bamba, mwanamke wa Guinea, ameamua kuweka kando changamoto alizokumbana nazo wakati anasomea muziki na badala yake kuanzisha chuo katika mji mkuu Conakry, kinachowawezesha wanawake ambao wamekutana na ubaguzi.

https://p.dw.com/p/1H83h
DW Africa on the Move 2 EINSCHRÄNKUNG
Picha: DW

Sayon Bamba ni mwanamuziki wa Conakry aliyefungua chuo cha muziki ili kuwafunza muziki wanawake vijana