1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Polepole aifafanuwa 'twiti' yake kuhusu hamahama

Saumu Mwasimba
8 Oktoba 2018

Kauli ya katibu mwenezi wa chama tawala cha CCM nchini Tanzania, Humprey Polepole, kuwa mwaka 2018 ndio mwisho kwao kufanya chaguzi ndogo za ubunge kwa wanachama wanaohama vyama vyao na kujiunga na chama chake imezua gumzo kubwa juu ya kilicho nyuma ya kile kiitwacho 'hamahama' na Saumu Mwasimba amemsaka kutaka ufafanuzi wake.

https://p.dw.com/p/36B33