1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Vijana wa Kitanzania wanaopigania ustawi wa miti ya asili

Sudi Mnette5 Machi 2024

Katika kipindi cha karibuni cha 09.03.2024 utasikia juhudi za asasi isiyo ya kiserikali SAHO inayoudwa a vijana wa Kitanzania yenye shabaha ya kudumisha uhai na uwepo wa miti ya asili katika uso wa dunia kwa kukusaya mbengu na kuotesha katika maeneo mengine ya taifa lao.

https://p.dw.com/p/4dAem