1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Suluhisho la takataka kutumia lava au viwavi

12 Julai 2019

Wakati ambapo utupaji takataka umeendelea kuwa tatizo kubwa katika nchi nyingi za Afrika, mjasiriamali mmoja nchini Tanzania ameamua kutumia takataka kutokana na vyakula vilivyoharibika kuzalisha lava au viwavi ambao baadaye hugeuzwa kuwa chakula cha kuku na samaki. Fahamu mengi kwenye vidio hii.

https://p.dw.com/p/3M0Ql