1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Upinzani wa Tanzania wamuomba rais Samia kusimamia haki.

Hawa Bihoga(HON)1 Aprili 2021

Mwenyekiti wa chama cha wananchi CUF nchini Tanzania Profesa Ibrahim Lipumba amemshauri rais wa Jamhuri za Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kujiwekea lengo la kushinda tuzo za utawala bora inayotolewa na wakfu wa Mo Ibrahim kwa kufuata misingi ya demokrasia, kukuza uchumi na kutenda haki. Hawa Bihoga alituletea taarifa ifuatayo kutoka Dar es Salaam

https://p.dw.com/p/3rTZT