1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Vuta ni kuvute na Swala la Gesi nchini Tanzania

3 Januari 2013

Bado swala la usafirishaji wa gesi inayopatikana katika eneo la Mtwara nchini Tanzania kwenda jijini Dar es Salaam linaendelea kuzua vuta ni kuvute kati ya serikali na wakaazi wa eneo hilo.

https://p.dw.com/p/17Cqd
Swala la gesi nchini Tanzania bado linazua utata
Swala la gesi nchini Tanzania bado linazua utataPicha: picture-alliance / dpa

Wakaazi wa mkoa wa Mtwara hapo jana walilalamika kuwa ni lazima wafaidike na gesi iliyopatikana huko kabla ya kulinufaisha taifa zima.

Hata hivyo waziri wa nishati na madini nchini Tanzania, Profesa Sospeter Muhungo, amesema kuwa haoni madai ya msingi kwa malalamiko hayo.

Amin Abubakar amezungumza naye na kwanza anaeleza zaidi juu ya suala hilo.

(Kusikiliza mazungumzo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini)

Mwandishi: Amina Abubakar

Mhariri: Josephat Charo.