1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Recep Tayyip Erdogan

Recep Tayyip Erdogan alizaliwa mwaka 1954 na alihudumu katika nafasi ya waziri mkuu wa Uturuki kuanzia 2003 hadi 2014. Alikuwa rais wa kwanza wa taifa hilo kuchaguliwa na raia.