Timu ya kandanda ya Ujerumani, Bayern Munich, itakwenda Japan mwezi Mei mwaka huu kucheza mechi ya kuwasaidia wahanga wa zilzala na tsunami
Rais Joe Biden wa Marekani amesema yuko tayari kupambana na mgombea mtarajiwa wa urais kupitia chama cha Republican Donald Trump kwenye mdahalo, na kuashiria uhakika juu ya suala hilo.
Waandishi wa Habari Wasio na Mipaka wamemuomba kiongozi ajaye wa Mexico kuchukua hatua madhubuti za kukabiliana na kusambaa kwa mashambulizi dhidi ya waandishi wa habari.
Baraza la mawasiliano la Burkina Faso limeamuru watoa huduma za mtandao kusimamisha ufikiaji wa tovuti na majukwaa mengine ya kidijitali ya BBC, VOA na shirika la Human Rights Watch, HRW