1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Gabon

Gabon iliyoko kwenye pwani ya magharibi ya Afrika, ni mmoja ya mataifa yenye utulivu zaidi katika kanda hiyo. Tangu ilipopata uhuru kutoka kwa Ufaransa mwaka 1960, Gabon imetawaliwa na marais watatu tu.